News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi akutana na Uongozi wa Jumuiya ya Wahandisi nchini Misri

Mheshimiwa Mej. Jen. Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri tarehe 02/09/2024 amekutana na Uongozi wa Jumuiya ya Wahandisi nchini Misri chini ya uongozi wa Mhandisi…

Read More

WAKAGUZI KUTOKA MSD NA VIONGOZI WA SCOUT WAPOKELEWA UBALOZINI

Tarehe 20 Agosti, 2024 Mhe. Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri amewapokea wakaguzi wanne kutoka Taasisi ya Medical Store Department (MSD) wakiongozwa…

Read More

Mhe. Balozi aipokea Timu ya JKU S.C.

Mhe. Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Leo tarehe 16 Agosti, 2024 amefika viwanja vya Jewel Sports City, New Cairo kuonana na Viongozi na Wachezaji wa Timu ya…

Read More

KAMATI YA BUNGE ZIARANI NCHINI MISRI

Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imeanza ziara yake nchini Misri tarehe 10 Agosti, 2024, kwa kutembelea Mji Mpya wa Kiutawala ambako Serikali ya Misri imehamia kuona majengo ya kisasa ya…

Read More

Mhe. Balozi akutana na Naibu Waziri Mkuu na pia Waziri wa Afya na Maendeleo ya Watu wa Misri

Tarehe 01 Agosti, 2024 Mhe. Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri amekutana na Mhe. Khaled Atef Abdul Ghaffar, Naibu Waziri Mkuu na pia Waziri wa Afya na Maendeleo ya…

Read More

Mabalozi wa Nchi za SADC waliopo Cairo watembelea miradi ya Kilimo nchini Misri

Tarehe 24-07-2024 Mabalozi wa nchi za SADC waliopo Cairo wametembelea miradi ya kilimo cha matunda, mbogamboga na uzalishaji wa maziwa katika mji wa Sadat City, huko Alexandria.Lengo la ziara hiyo ni kujifunza…

Read More

MHE. BALOZI AITEMBELEA TIMU YA SIMBA ILIYOPIGA KAMBI NCHINI MISRI

Mhe. Maj. Gen. Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri tarehe 22/07/2024 ameitembelea timu ya Simba Sports Club katika mji wa Ismailiya nje kidogo ya Cairo ambapo…

Read More