News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi Mej. Jen. Richard Makanzo Akabidhi Hati za Utambulisho kwa Rais Joseph Aoun wa Lebanon

Tarehe 05 May 2026 Mheshimiwa Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo aliwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mheshimiwa Jenerali Joseph Aoun, Rais wa Jamhuri ya Lebanon, katika Ikulu ya nchi hiyo jijini…

Read More

MKUTANO WA 21 WA MAWAZIRI WA NISHATI WAFANYIKA NCHINI MISRI

Serikali ya Tanzania imeshiriki katika Mkutano wa 21 wa Mawaziri wa Nishati wa Afrika Mashariki uliofanyika Cairo, Misri, ukiwa na lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika biashara ya umeme kupitia…

Read More

Naibu Waziri wa Nishati Atembelea Ubalozi wa Tanzania Misri na Kujadili Ushiriki wa Kikao cha Kikanda cha Nishati

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Balozi Meja Jenerali Richard M. Makanzo, pamoja na…

Read More

TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 62 YA MUUNGANO JIJINI CAIRO, MISRI

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri, tarehe 26 Aprili 2026, uliadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika hafla maalum iliyofanyika katika Hoteli ya Cairo Marriott…

Read More

ZIARA YA MH. BALOZI MAJ. GEN. RICHARD M. MAKANZO KWENDA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YA MISRI – KITENGO CHA USALAMA NA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA

Mheshimiwa Balozi Maj. Gen. Richard M. Makanzo tarehe 01.04.2026 alifanya ziara rasmi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, akipokelewa na viongozi waandamizi wa sekta ya usalama,…

Read More

Mhe. Balozi Afanya Kikao cha pamoja na Mhe. Lt. Gen. Eng. Kamel Alwazeer, Naibu Waziri Mkuu wa Maendeleo ya Viwanda na Waziri wa Uchukuzi

Tarehe 29-03-2026 Mhe. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  nchini  Misri Mej Jen. Richard M.Makanzo alikutana na Mhe. Lt.  Gen. Eng. Kamel Alwazeer, Naibu Waziri  Mkuu wa Maendeleo…

Read More

Balozi wa Tanzania nchini Misri Atembelea Makao Makuu ya Elsewedy Electric Jijini Cairo

Tarehe 18 Machi 2026, Mheshimiwa Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri, akiambatana na watendaji wake wawili, alifanya ziara rasmi katika makao makuu ya…

Read More

TIMU YA TAIFA YA VIJANA YA TANZANIA U17 YAPIGA KAMBI NCHINI MISRI

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri uliipokea Timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 (U17) iliyowasili nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi maalum ya maandalizi kuelekea…

Read More