MKUTANO WA 21 WA MAWAZIRI WA NISHATI WAFANYIKA NCHINI MISRI
Serikali ya Tanzania imeshiriki katika Mkutano wa 21 wa Mawaziri wa Nishati wa Afrika Mashariki uliofanyika Cairo, Misri, ukiwa na lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika biashara ya umeme kupitia Eastern Africa Power… Read More








