Bilateral Relation Change View → Listing

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara afungua Kongamano la Kuhamisha Uwekezaji

Mhe. Exaud Silaoneka kigahe, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Tanzania tarehe 27/01/2025 amelifungua kongamano la siku moja la kuhamasisha uwekezaji nchini Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Mikutano…

Read More

Mhe. Balozi na Mhe. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara watembelea SILO Foods for Food Industries

Mhe. Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri, akiwa na ujumbe wa Tanzania uliofika Misri kuhamasisha uwekezaji nchini Tanzania unaoongozwa na Mhe. Exaud…

Read More

Mhe. Balozi Atembelea Mradi wa ILMONTE GALALA

Mhe. Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri akiwa na ujumbe wa Tanzania uliofika nchini Misri kuhamasisha uwekezaji nchini Tanzania unaoongozwa na Mhe.…

Read More

Mhe. Balozi Aongoza Kongamano la Kuhamasisha Uwekezaji nchini Tanzania

Tarehe 23 Januari, 2025 Mhe. Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri akiwa na Maafisa wa Ubalozi, Maafisa kutoka TIC, Wizara ya Kilimo, TPA na Sekta…

Read More

KAMATI YA BUNGE ZIARANI NCHINI MISRI

Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imeanza ziara yake nchini Misri tarehe 10 Agosti, 2024, kwa kutembelea Mji Mpya wa Kiutawala ambako Serikali ya Misri imehamia kuona majengo ya kisasa ya…

Read More

Mhe. Balozi akutana na Naibu Waziri Mkuu na pia Waziri wa Afya na Maendeleo ya Watu wa Misri

Tarehe 01 Agosti, 2024 Mhe. Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri amekutana na Mhe. Khaled Atef Abdul Ghaffar, Naibu Waziri Mkuu na pia Waziri wa Afya na Maendeleo ya…

Read More

Spika wa Bunge ziarani nchini Misri

Mhe. Tulia Ackson, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia  ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) tarehe 22/5/2024  alianza ziara yake ya siku 3 nchini Misri kufuatia mwaliko…

Read More

RAIS WA MISRI ATUMA SALAMU ZA PONGEZI ZA KUTIMIZA MIAKA 60 YA MUUNGANO

Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah El Sisi leo tarehe 24/04/2024 ametuma ujumbe maalum kwa kumtuma Afisa kutoka Ikulu Bw. Mohamed Mokhtar kuwasilisha salamu za pongezi za kutimiza miaka 60…

Read More