Bilateral Relation Change View → Listing

Mhe. Balozi Mej. Jen. Richard Makanzo Akabidhi Hati za Utambulisho kwa Rais Joseph Aoun wa Lebanon

Tarehe 05 May 2026 Mheshimiwa Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo aliwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mheshimiwa Jenerali Joseph Aoun, Rais wa Jamhuri ya Lebanon, katika Ikulu ya nchi hiyo jijini…

Read More

MKUTANO WA 21 WA MAWAZIRI WA NISHATI WAFANYIKA NCHINI MISRI

Serikali ya Tanzania imeshiriki katika Mkutano wa 21 wa Mawaziri wa Nishati wa Afrika Mashariki uliofanyika Cairo, Misri, ukiwa na lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika biashara ya umeme kupitia…

Read More

TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 62 YA MUUNGANO JIJINI CAIRO, MISRI

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri, tarehe 26 Aprili 2026, uliadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika hafla maalum iliyofanyika katika Hoteli ya Cairo Marriott…

Read More

ZIARA YA MH. BALOZI MAJ. GEN. RICHARD M. MAKANZO KWENDA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YA MISRI – KITENGO CHA USALAMA NA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA

Mheshimiwa Balozi Maj. Gen. Richard M. Makanzo tarehe 01.04.2026 alifanya ziara rasmi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, akipokelewa na viongozi waandamizi wa sekta ya usalama,…

Read More

Mhe. Balozi Afanya Kikao cha pamoja na Mhe. Lt. Gen. Eng. Kamel Alwazeer, Naibu Waziri Mkuu wa Maendeleo ya Viwanda na Waziri wa Uchukuzi

Tarehe 29-03-2026 Mhe. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  nchini  Misri Mej Jen. Richard M.Makanzo alikutana na Mhe. Lt.  Gen. Eng. Kamel Alwazeer, Naibu Waziri  Mkuu wa Maendeleo…

Read More

Balozi wa Tanzania nchini Misri Atembelea Makao Makuu ya Elsewedy Electric Jijini Cairo

Tarehe 18 Machi 2026, Mheshimiwa Meja Jenerali Richard Mutayoba Makanzo, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri, akiambatana na watendaji wake wawili, alifanya ziara rasmi katika makao makuu ya…

Read More

ZIARA YA MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MISRI KATIKA MKOA WA LUXOR NA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA LUXOR

Mhe. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri, Mej. Jen. Richard Mutayoba Makanzo, alifanya ziara ya kikazi katika mji wa Luxor, ambapo alipata fursa ya kukutana na Gavana wa mkoa huo, Abdel…

Read More

Study opportunities in Egypt

Arab Republic of Egypt,Ministry of Higher Education andScientific Research,Central Administration for International Student Affairs,Cairo, ARETo: Cultural Consular of the Embassy of Tanzania in Cairo, …

Read More