News and Resources Change View → Listing

Wawekezaji wa Misri wafanya ziara nchini Tanzania

Ujumbe wa wawekezaji kutoka Misri baada ya mazungumzo na Waziri wa Kilimo wa Zanzibar tarehe 19 Februari 2019

Read More
Meja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasilisha Hati ya utambulisho kwa Mhe. Mahmoud Abbas, Rais wa Taifa la Palestine tarehe 06 Januari, 2019.

Mh, Balozi awasilisha hati ya Utambulisho

Meja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasilisha Hati ya utambulisho kwa Mhe. Mahmoud Abbas, Rais wa Taifa la Palestine tarehe 06 Januari, 2019.

Read More

Ziara ya Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi wa Misri nchini Tanzania

Ziara ya Mhe. Prof. Ezzaldine Abustiet, Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi nchini Tanzania kuanzia tarehe 03-06 Februari, 2019. Akiwa nchini Tanzania, Prof. Ezzaldine alikutana na viongozi mbali mbali wa…

Read More
Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA)

Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA)

A thin mist swirls through an enchanted forest of lichen-draped trees. Hundreds of metres below, a hazy expanse of savannah dips towards an oval lake whose edges shimmer pink with countless fl amingos. As the…

Read More

Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa BIOANUAI mjini Sharm El Sheikh

Meja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Tanzania nchini Misri akiongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Bioanuai (UN Biodiversity Conference) uliofanyika…

Read More

Ziara ya Kitalii ya ujumbe wa Wafanyabiashara wa Misri

Ujumbe wa Wafanyabiashara kutoka Misri ukiongozwa na Dk. Sherif El Gabal ulifanya ziara ya kitalii kwenye mashamba ya viungo (spice tour) katika eneo la Kizimbani Zanzibar tarehe 08 Novemba, 2018 ikiwa ni…

Read More

Kongamano la biashara kati ya Zanzibar na Misri

Mheshimiwa Balozi Amin Salum Ali, Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko wa Zanzibar baada ya kufungua kongamano la Biashara kati ya Zanzibar na Misri tarehe 09 Novemba, 2018. Kabla ya kongamano hilo Mhe.…

Read More

Balozi Issa Suleiman Nassor atembelea kiwanda cha kutengeneza katarasi cha El Taqwa

 Meja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Tanzania nchini Misri alipotembelea kiwanda cha kutengeneza karatasi cha El Taqwa kilichopo nje kidogo ya mji wa Cairo nchini Misri na kufanya…

Read More