Mh, Balozi awasilisha hati ya Utambulisho
Meja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasilisha Hati ya utambulisho kwa Mhe. Mahmoud Abbas, Rais wa Taifa la Palestine tarehe 06 Januari, 2019.
Read MoreMeja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasilisha Hati ya utambulisho kwa Mhe. Mahmoud Abbas, Rais wa Taifa la Palestine tarehe 06 Januari, 2019.
Read MoreZiara ya Mhe. Prof. Ezzaldine Abustiet, Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi nchini Tanzania kuanzia tarehe 03-06 Februari, 2019. Akiwa nchini Tanzania, Prof. Ezzaldine alikutana na viongozi mbali mbali wa…
Read MoreA thin mist swirls through an enchanted forest of lichen-draped trees. Hundreds of metres below, a hazy expanse of savannah dips towards an oval lake whose edges shimmer pink with countless fl amingos. As the…
Read MoreMeja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Tanzania nchini Misri akiongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Bioanuai (UN Biodiversity Conference) uliofanyika…
Read MoreUjumbe wa Wafanyabiashara kutoka Misri ukiongozwa na Dk. Sherif El Gabal ulifanya ziara ya kitalii kwenye mashamba ya viungo (spice tour) katika eneo la Kizimbani Zanzibar tarehe 08 Novemba, 2018 ikiwa ni…
Read MoreMheshimiwa Balozi Amin Salum Ali, Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko wa Zanzibar baada ya kufungua kongamano la Biashara kati ya Zanzibar na Misri tarehe 09 Novemba, 2018. Kabla ya kongamano hilo Mhe.…
Read MoreMeja Jenerali Issa Suleiman Nassor, Balozi wa Tanzania nchini Misri alipotembelea kiwanda cha kutengeneza karatasi cha El Taqwa kilichopo nje kidogo ya mji wa Cairo nchini Misri na kufanya…
Read MoreKongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Misri limefunguliwa leo katika hoteli ya Hyatt Regency, Dar es Salaam. Kongamano hilo limeandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kushirikiana…
Read More