News and Events Change View → Listing

MHE BALOZI WA TANZANIA NCHINI – MISRI ASHAWISHI WAFANYA BIASHARA KUNUNUA BIDHAA ZAO NCHINI TANZANIA

Katika hatua za kuendeleza sera ya kupata wawekezaji na wafanyabiashara kutoka nje, Mhe Dkt. Emmanuel J.Nchimbi Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri siku ya tarehe 05/07/2022 alifanya ziara…

Read More

MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI  AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MISRI

 Mhe Liberata Mulamula baada ya mkutano na Mhe. Sameh Shoukri, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Misri, alifika Ubalozini na kuzungumza na wafanyakazi ambapo aliutaka uongozi…

Read More

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ziarani nchini Misri

Mhe.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akizungumza kwenye Mkutano wa Waandishi wa Habari baada ya kikao cha pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Mhe. Sameh Shoukry tarehe…

Read More

H.E Samia Suluhu Hassan visits Egypt

H.E Samia Suluhu Hassan, President of United Republic of Tanzania met her counterpart President Abdel Fatah al-Sisi of Egypt on her on a three-day State visit in Egypt. They agreed on expanding…

Read More
Mhe.Balozi Anselm Bahati akiongea jambo na Wataalamu wa TEHAMA pamoja na maafisa wa ubalozi Cairo ,Misri

Kikao kazi baina ya Balozi na wataalamu wa TEHAMA kutoka Wizara ya Mambo ya Nje

Mhe. Balozi Anselm Shigongo Bahati amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA  Dkt. Isaac F.Kalumuna kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki juu ya namna bora…

Read More

Mhe. Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally amtembelea Mhe. Balozi wa Tanzania Nchi Misri nyumbani kwake

Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally aliwasili nchini Misri kutokea Tanzania tarehe 05 Juni, 2022 na ujumbe wake wa watu watatu kwa kuitikia mwaliko wa kuhudhuria  Mkutano…

Read More