No social unrest or terror attack threats in Tanzania
Read More
Mhe. Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi siku ya tarehe 12/09/2022 akiambatana na Afisa wa Ubalozi Mhe. Suleiman R. Haroun walifanya ziara ya kikazi mkoani Buheira kutembelea kiwanda cha Al Saratex kinachojihusisha na…
Read MoreMhe. Jenista Joakim Mhagama (MB), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora aliwasili Cairo, Misri tarehe 31 Agosti, 2022 kuhudhuria Mkutano wa nne wa kawaida wa Kamati ya…
Read MoreDear colleagues,The Embassy of the United Republic of Tanzania in Cairo - Egypt has changed its Email address to be info.cairo@nje.go.tzPlease don’t use the old one that is: …
Read MoreLeo tarehe 04/08/2022 Mhe. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa ofisini kwake alitembelewa na Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi ya Feza – Kawe waliopo…
Read MoreMhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri aliadhimisha kwa mara ya kwanza Kongamano la siku ya Kiswahili Duniani katika ukumbi wa Umoja wa Wanafunzi wa Kimisri…
Read MoreSiku ya tarehe 23/07/2022 Balozi wa Tanzania nchini Misri Mhe. Emmanuel John Nchimbi akiwa na mchezaji wa Simba Pape Osmane Sakho, aliyebeba tuzo ya kiatu cha dhahabu cha mfungaji wa bao bora la Africa 2022 na…
Read MoreTarehe 21/07/2022, Mhe. Balozi alikutana viongozi wa Mamlaka ya Huduma za Afya nchini Misri kupitia Idara ya uhamasishaji wa huduma za Afya kupitia utalii(medical tourism department). Mamlaka hiyo inakusudia…
Read More